"Hata kama wewe si mwenye akilli maalum, unaweza kutumia maarifa
kama yale ya Aristotle na Einstein ili kuongoza vizuri zaidi wakati wako ujao."
Maarifa yafuatao nane yanaweza kukutia moyo uwe na kufikiria
kwenye matunda ili uweze kupata ufumbuzi wa matatizo mbali mbali. "Maarifa
haya ni ya kawaida kwa mtindo wa kufikiria na wenye akili maalum hasa katika
sayansi, sanaa na kazi ya viwanda."
1. Angalia matatizo katika njia mbali mbali, na upate ile
njia yenye haijatumiwa na mtu yeyote.
Leonardo da Vinci aliamini kwamba, kupata maarifa ya umbo wa
matatizo, huaanza na kujifunza kuratibisha upya matatizo katika njia mbali
mbali.
2. Wazia!
Einstein alipofikiria juu ya tatizo, alifikiria katika njia
nyingi pamoja na kutumia picha za kueleleza. Aliwazia ufumbuzi na aliamini
kwamba maneno na hesabu( namba) havikusaidia kufikiria kwake.
3. Kuwa na mazao! Mazao ndio tabia ya kupambanua wale
wenye akili maalumu.
Thomas Edison alijitoa kwa kazi yake. Alipofanya utafiti kati
ya wasayansi 2,036, Dean Keith Simonton wa chuo kikuu cha California alipata
kwamba msayansi alishemiwa sana hakuzaa tu kazi nzuri, pia kazi "mbaya".
Wasayansi hawakuwa na uwoga wa kukosa ili kupata.
4. Tengeneza michanganyiko mipya. Changanya na
kuchanganya, mawazo, picha za mawazoni, katika michanganyiko mbali mbali bila
kujali vile itatoka.
Sheria za ufananaji wa mtoto na wazazi wake ambazo ni msingi
wa sayansi ya kisasa zilitoka kwa Austrian monk Grego Mendel, ambaye
alichanganya elimu ya hesabu na elimu ya viumbe.
5. Tengeneza mahusiano; tengeneza mahusioano kati ya visa
ambavyo si sawa.
Da Vinci alishurutisha uhusiano kati ya sauti ya kengele na
jiwe kupiga maji. Hii ilimsaidia kujua kwamba sauti usafiri ndani ya maji.
Samuel Morse alivumbua vituo vya kupokea na kupeleka ishara za simu
alipotazama vituo vya kupokea na kupeleka vya farasi.
6. Fikiria kwa njia ya kinyume
Msayansi Niels Bohr aliamini kwamba, ukiweka pamoja mambo
yalio kinyume, akili zako zinapelekwa jukwaa mpya. His ability to
imagine light as both a particle and a wave led to his conception of the
principle of complementarity. Suspending thought (logic) may allow your mind
to create a new form.
7. Fikiria kwa njia ya mifano
Aristotle alifikiri kuwa mfano ni ishara ya kuwa na akili
maalumu, na akaamini kwamba mtu aliyekuwa na uwezo wa kulinganisha mambo
mawili yaliofanana, huyo mtu alikuwa mjaliwa wa vipawa maalum.
8. Jitayarishe, unaweza kuwa na bahati.
Tunapojaribu kufanya jambo na tunashindwa, tunafanya jambo
tofauti. Hiyo ni kanuni ya kwanza ya uumbaji wa kiajali. Kushindwa kunaweza
kuwa na mazao tusipokaza macho kutokuwa na matokeo. Usijiulize, "ni kwa nini
nilishindwa?" Badala, changanua njia ya kufuatwa, sehemu maalum na vile
unaweza kuzibadilisha upate matokeo.
Kuendekeza na ruhusa kutoka kwa:
Michalko,
Michael, Kufikiria kama mwenye akili maalum: Maarifa nane ya uumbaji
kutoka kwa Aristotle na Leonardo kwa Einstein na Edison(New
Horizons for Learning) vile yanaokena katika
http://www.newhorizons.org/wwart_michalko1.html,
(June 15, 1999)
Makala haya
yalionekana kwa mara ya kwnanza ndani ya THE FUTURIST, Mei 1998
Michael Michalko ndiye mwandidhi wa
Thinkertoys (Kijitabu cha shughuli za uumbaji),
ThinkPak
(A Brainstorming Card Set), na Cracking Creativity: The Secrets of
Creative Geniuses (Ten Speed Press, 1998).
Website overview: Since 1996 the
Study Guides and Strategies web site
has been researched, authored, maintained and supported by Joe Landsberger
as an international, learner-centric, educational public service. Permission is granted to freely copy, adapt,
and distribute individual Study Guides in print format in non-commercial educational settings that benefit learners. Please be aware that the Guides welcome, and are under, continuous review and revision. For that reason, reproduction of all content on the Internet
can only be with permission through a licensed
agreement. No request to link to the Web site is necessary.
Visitor Center
Projects, news, metrics, copyright, licensing
Joe's
professional and personal webpages